Friday, November 19, 2010

Mafunzo yamefanya nizaliwe upya!


SIKU ya kwanza wakati nahudhuria mafunzo haya nilikuwa na dhana tofauti kuhusiana na matumizi ya Internet,kwani nilikuwa nikituma na kupokea E mail, kutuma habari na picha pamoja na matumizi mengine ambayo hayakuwa makubwa.

Mafunzo haya yamenifanya nizaliwe upya kwani,ninaweza kufanya kazi ya uandishi wa habari ambao unakwenda na wakati ikiwa ni pamoja na kuongeza taarifa zingine za kina ambazo ninaweza kuzipata katika Internet kupitia mitandao mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.Mafunzo haya yamekuja kwa wakati muafaka ninaishukuru sana Misa Tan pamoja na wadau wengine kwa kuandaa mafunzo haya.

No comments:

Post a Comment